Christ Embassy Changamwe

A congregation of champions

Photos from Christ Embassy Changamwe's post 24/05/2024

WE ARE LIVE: GLOBAL MINISTERS CLASSROOM with Pst Chris
CURRENTLY ONGOING

If you have not yet connected, kindly use the link
and if you have not registered, kindly use same link to register and enter right in
https://ismglobalministersclassroom.org/home/live/index.php

15/03/2024
03/12/2023

DECEMBER: Month of Thanksgiving

Gloorryyy!!!

Giving God thanks in everything for everything
Living a Thanksgiving Life

Photos from Christ Embassy Changamwe's post 27/07/2023

IBADA YA UPONYAJI (HEALING SERVICE) na Mchungaji Chris (Pastor Chris)

na ugonjwa wowote?
maisha ya kuchukua madawa?
na Pesa Yako ikiishia Hospitalini?
maisha Yako ibadilike lakini wapi?
Kubadilisha maisha Yako hii nusu mwaka imebakia?
ukiuliza Mungu kuhusu MAJIBU ya MAOMBI???

BASI HII IBADA NI MAJIBU YA MAOMBI YAKO!!!???

IT'S TOMORROW!
✓INAANZA KESHO
✓28th - 30th July 2023
✓Kuanzia 5pm Kenya Time, Hadi Usiku
✓Iko Kanisani (Kanisa la Christ Embassy ambalo liko karibu nawe)
✓Pia Iko mtandaoni (internet)

KWA AJILI YAKO/MWENZIO.....
MAOMBI yoyote_Andika kwa comments/ Tuandikie Inbox
UPONYAJI wowote_Andika kwa Comments/Tuandikie Inbox

LEO NI LEO, MSEMA KESHO NI NANI?

Jitayarishe kupata uponyaji wa Mungu kutokana na shida lolote uko nalo

K**a ni Magonjwa ya kimwili, kiakili,kiroho, ama unahitaji usaidizi wa Mungu-Upinyaji wake katika hiyo shido uko nayo(kama ni kifedha, kifamilia, kibiashara,kikazi, ama mahali popote maishani mwako)

Hakuna kitu haliwezekani na Mungu, ukiamini.

Walete wagonjwa wote /Wote walio na mashida tofauti
Pelekeni wagonjwa wenu kwa hospitali hii habari njema, kwamba ni wakati wao wa uponyaji, na kutolewa Hospitalini /ama kwa Magonjwa ya madawa nyingi walio nyumbani

Register others at: https://healingstreams.tv/zone/KENYAZ

12/07/2023

Ugonjwa haubagui
Na Uponyaji haubagui
Hii ni wakati wako wa kupata Uponyaji wa Mungu, kutoka kanisani kwetu ama mahali uko, kwa ku-register kwa Hii Ibada ya Uponyaji itakayokuwa 28th Julai-30th Julai Saa 5pm Hadi usiku

There Will Be Miracles & healings right at your healing center💥

*AND IT'S* 1️⃣6️⃣ *DAYS TO GO*❗❗

*Register others at:* https://healingstreams.tv/zone/KENYAZ

*Partner at:*
Mpesa Paybill 800700
ACC no: HS CEMSA

10/07/2023

HEALING IS FREE, AVAILABLE, & HAS COME RIGHT TO YOUR DOORSTEP
Get ready to do what you could not do before❗

Date: Frid-Sun Daily on 28th-30th July 2023

✅Prepare for this July Healing Streams by:

➡️Registering @ https://healingstreams.tv/zone/KENYAZ

Share your link to others to join_Medicine costs money; Some cases are irreversible; But to God, nothing is impossible. So tell everyone you know

Bring the Sick
Bring the troubled
Bring the impossible cases.
God asked, IS THERE ANYTHING TOO HARD FOR GOD???
So, what are you waiting for

08/07/2023

There will be healings, miracles, Restoration, Glory!
Are you sick of any disease/ailment?
Are you tired of living on medicine?
Are you wishing to no longer live in and out of hospital?
Is there an incurable sickness beyond words/understanding?

It's 2️⃣0️⃣ Days to the biggest Healing Crusade with Pastor Chris

🤷🏼‍♀️How are you preparing?

👉🏼 Register at: https://healingstreams.tv/zone/KENYAZ

👉🏼 Sponsor the biggest healing crusade at:
Mpesa Paybill is 800700
ACC no is HSLHS CEMSA

06/07/2023

Electronic Screens are up with the July HSLHS ad running live in Mombasa County, digo road Kenya!
28-30July DAILY will be HEALING STREAMS LIVE HEALING SERVICE WITH PASTOR CHRIS
Church venue at Mombasa Port Sacco (opposite Cannon Towers)_moi avenue road
Sunday Service:8AM Swahili;10AM English
Wednesday service
Friday Prayers
Saturday Prayers @7:40am

04/06/2023

RHAPSODI YA UHAKIKA

Jumapili, 4 Juni

UCHUKUE USHIRIKA MTAKATIFU KWA UELEWA

Mchungaji Chris
━━━━━━━━

Tunapokunywa kikombe cha baraka, je hatunywi damu, uhai wenyewe wa Kristo? Na sivyo ilivyo na mkate tunaoumega na kula? Je, hatuingizi ndani yetu mwili, uhai wenyewe wa Kristo? (1 Wakorintho 10:16 MSG).

Ushirika Mtakatifu (Meza ya Bwana) ni sakramenti muhimu sana ndani ya Kanisa, lakini wengi huila bia uelewa wa maana na matokeo yake ya kiroho. Unapochukua Ushirika Mtakatifu, hauwi tu na ushirika na mwili na damu ya Kristo, unajihudumia uzima mwilini mwako kwa sababu ina nguvu ya uponyaji! Ina nguvu zaidi kuliko dawa yoyote.

Katika kuufafanua mfano wa mpanzi kwa wanafunzi Wake kwenye Mathayo 13:3-4, na 18-19, Bwana Yesu alifunua kuwa wale waliopokea mbegu kando na njia wanawakilisha wale wanaolisikia Neno lakini hawalielewei. Kwa matokeo ya kukosa kwao uelewa, Shetani huja upesi na kuliiba Neno lililopandwa mioyoni mwao, nao wanapata hasara.

Neno la Mungu likiwa limechanganywa na uelewa huzaa matokeo ya kiungu. Kuanzia sasa, uwe na uelewa kuwa "tunapoumega mkate," tunaadhimisha kifo cha kimbadala cha Kristo, Kondoo wa sadaka aliyetolewa kwa ajili yako. Pia, "Kikombe" huashiria Agano Jipya lililoidhinishwa kwa damu Yake. Damu Yake ya kiungu ilimwagika kwa ajili yetu kwa ajili ya ondoleo la dhambi, ili dhambi isiwe na utawala juu yetu.

Hivyo, leo, haijalishi hali unayoweza kuwa umo; unaweza kuwa umegundulika na matatizo ya mapafu, figo, moyo, tumbo ama ngozi, chukua UShirika Mtakatifu na utangaze, "Hakuna uvimbe wa saratani, unyonge, ugonjwa, maradhi ama udhaifu unaoweza kustawi au kubaki mwilini mwangu. Nina afya, mimi ni mchangamfu na niko imara." Haleluya!

SALA
Mpendwa Baba, ninakushukuru kwa mwili wa Yesu Kristo uliovumegwa kwa ajili yangu ili kamwe nisimegwe, nisiwe mgonjwa, mnyonge, ama nisishindwe. Ahsante kwa damu Yake iliyomwagika kwa ajili ya ondoleo la dhambi, na ambayo kwayo nimekuwa mshirika na msambazaji wa uzima wa kiungu, katika Jina la Yesu

Timeline photos 11/03/2023
Photos from Christ Embassy Changamwe's post 11/03/2023

IT'S 6️⃣ DAYS TO GO!!

THE LARGEST GLOBAL HEALING CRUSADE IS HERE.
Do you know any person who is sick, at home/school/hospital????

➡️ Go all out to publicize and register all at https://healingstreams.tv/zone/KENYAZ

➡️ Give your best to sponsor the program at
Mpesa Paybill: 800700
ACC no: HS-Mombasa

For more clarifications/enquiries, call us at: 0769720428

14/02/2023

Your Loveworld Praise-a-Thon with Pastor Chris and Pastor Benny | February, 2023 - Session 3

DAY 2 - WE ARE LIVE

https://www.youtube.com/live/T_rkyNb8Ktc?feature=share

GET CONNECTED NOW❗❗❗

To view our 24x7 stream and much more, visit our website at https://www.LoveworldUSA.org , view channel "Loveworld USA TV" on Roku, download the LiveTV mobile app, or subscribe to AlphaTV at https://AlphaTV.global

07/02/2023
Want your place of worship to be the top-listed Place Of Worship in Changamwe?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Videos (show all)

Telephone

Address

Changamwe

Other Religious Organizations in Changamwe (show all)
Changamwe Pent Church CPC 2022 Changamwe Pent Church CPC 2022
Hamisi
Changamwe, 80102

At CPC We Preach Christ