Spear billionaire
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Spear billionaire, Health/Beauty, .
Gari Nizuri k**a halijakuharibikia na maisha ni matamu k**a hayaja kuharibikia Ivyo be care usiruhusu huaribifu kizembe iwe kwa tamaa au shortcut
Mungu wetu sote
Waliotulisha sumu wanashangaa tunanawili wanashangaa π sio uchawi ni nguvu πͺπΏ ya MUNGU juu yetu yuko nasi tokea tungali watoto wazazi walijalibu kututoa wakashindwa Ivyo Sisi niwale tunao saidiwa na my MUNGU.
Mtoto wa Mwaka Mmoja nanusu akiwa na baba yake,
Huko nchin Nigeria na ana uzito wa kilo 45 je akifikisha miaka kumiπ ahaha ni Balaaπ
Vijana nguvu za kiume ni pesa mzee anatumia nguvu zake Za pesa na anamfikisha bintiπππ
Vile waliozaliwa tar 29 February wanavyo tafta tar ya kusherekea siku ya kuzaliwa na hawaoni πππ
Maana tare 29 katika mwezi wa pili uja Baada ya miaka minneπ wanatabuππ³πππ€¦ββοΈ
Simu ya Mzungu na Mama Otaigho ππ
Yaani unakataliwa na watu kadhaa
Au mpenzi ambae haijazi Dunia
Unakosa amani kazi uendi huli chakula
Na ukisemeshwa uelewi kisa mtuπ
Lakini unapo mkosea MUNGU upati hata muda wa kuumia kwa kutenda dhambiπ³
Zaidi utatafuta namna ya kufunika dhambi wasione wanadamu pasi kujua MUNGU anaonaπππ
MAARIFA.
πππ MAMA OTAIGHO NA MWANAE NI VISA TUPUππ
βOTAIGHO WE NI MWANAUME USIPENDE KULAβ
βπππππ€¦ββοΈβ
Mama OTAIGHO ππππNili kupa pesa Zoote zile za ada
Kumbe elimu uliosoma ni βPANZI ANA MIGUU MINGAPI!!πππ³π³ππππ
Mjini karatasi Zaitwa toilet paper au tishuπππ
Tuburudike kidogo na nyimbo
Mama otaigho akutana na yesuππππ³π€¦ββοΈ
πππYAANI UPO RADHI
KUMUHONGA MALAYA!!
Kuliko kumsaidia mama yakoπ
Kwa waimbaji wa injili
Natoa ofa za Video msimu huu
Nicheki in box.
Mama otaigho katika mawazo makali ya kupanga chumba kimoja na ana lala na mtoto wake wa kiume kila akitoka chuo.
Otaigho kamkera mama yake
Toka Atoke chuo yupo nyumbani tu hana kazi
MAMA OTAIGHO ABUNI BIASHARA YA UJI KUUZA BUNGENI
HUSIKA VIZURI UKIWA FARAGHA NA MTU WAKO
Usiyumbishwe na watu zaidi simamia ndoto zako.
Maisha ni yetu ila bila MUNGU nisawa na bure kabisa.