Lady chelaa
One Ward is enought
Kwa sai kitu nalasimisha ni kutafuta pesa niomoke mambo na kulasimisha mapenxi siyuko apo naniiππππ
Ety wedding iliscamiwa aky Nelly we ni shetani kpixa uliona tu utunyime Mchele πππππππ
Nlikuwa kwa fundi wa radio Masai akakuja kutengenexewa radio kufunguliwa mende sikatoka Masai akashaut ero shika awa watangasaji wasitorokeπ€£π€£π€£π€£πππ
Alafu Kuna jokes singine sipendi Ety karipia karipia customer na unausa jenesa waja mchezo naniiπππ
Nliona bae wangu nik**a anapenda house girl na mi ni nani nikaampia tuko na ukimwi ππππ
Ama tuampie ruto atupee hustler fand round two alafu tulipe yote ones si yeye ni wetuπ€π€π€π€π€
Uzuri ata k**a siwexani kununua Gari ntaexa nunua chromeπΎjuu zote zitanipepaπ€Έπ€Έπ€Έ
Mwenye Ali heart break beshte wangu uparikiwe tumelewa tangu jusiπ€Έπ€Έπππππ€«π€«
Hiπ wenzangu wenye tulikunywa busaa na kiporo lunch natukarudi shuleπwenye walisema atufiki mbali wako wpyπ€π€π€
Mtajifunxa kuwaja tapia ya kukula fare y wenyewe naniiππ€£π€£ππ€£π€£ππππ
Ety ntumie hot pic siujamshe iyo ykoππ€£π€£πππ
Mwanangu usiwai japa bibi yko ata aki ku disappoint umpe pesa pandia akajabwe sokoniππ€£π€£π€£πππππ
Na kumbe mungu ni mkalee anaitwa Emmanuel kiptayatπ€£ππππππππ
Mianoo pkoryo bakofixsen emet en menjoπ€£ππ€£π€£πππππππ
Kana Dem wako akusumbui na kujam any time ajana na uyo ni pretender real bae hase evil spiritππππππ
Akuna mke msuri k**a bibi wako mafasi isikujanganye ulie padaeπππππ
Kwani ijafika time ya kuampiwa tushuke juu ya mitiπ€π€ mi nko juu ya miti tangu waseme tupande mituπππ
Be proud of your self for how far you have game from and never stop pushing to be the best as you can
Watu wa TikTok plz msijaribu kwenda jandoniπ₯Ίmokimuje korgegere obore motirenik nywelnywel kwisha nyinyiπ€£π€£π€£π€£π€£
Difai na mapepo inasemwa aje kwa kingeresa Kuna msungu ananisumbua apa plzπ€π€π€π€¦
Unatext m2 mrng beb anareply mrng too kwani beb imekatwa na fulisaππ
Unalalamika aty mpoa wako ako na mademz wengi time alikushow you are one in a million kwani ni kizungu ukuelewaπππππΉπΉππ
Unaningixa kidoleπalafu unaomba mungu apariki kazi ya mikono ykoπ₯Ίbro uogopi munguπππππ
Leo nmelala nkaota nkiongea Kikuyu nmeaka nkitani mi sio mkalee woi!! Karibu nipige nduru π€·ππ
Kuna kitu sielewi yesu anakuja ama si ndio tunaenda?
Her;hi lady chelaa me; mmmmh her; ata k**a umenijukia nisalimie 2 salamu aitii mimba me;π€£ππΉπππ
Jirani wangu anaskisa nyimbo za heart break apa akilia wah!! Nmelia ata namiss uyo mtu wakeππππ
Silibwet pap soda tafatali npewe
Contactor; venye uko mlefi ifi utaenda binguni kweli? Mlefi; mi siendi binguni k**a nyinyi mnaenda binguni mnishukishe apo mi naenda cheboleππ€£ππ€£π
Unatani umepata soulmate kumbe mtu ametoka heart break amekuja revenge π€£π€£π€£π€£π€£π
Nlikuwa napost mpoa wangu ndio X wangu aoneπ₯Ίπ₯Ίwaja niamke aja viewππ nmeenda mpio adi kwaoππnkadanganya mum wake nko na mimba ya kijana wakeππππ
44k followers thanks π
Mukikosana unafaa kufuta namba after how long?π€π€π€
Ety wamesema mambo ni?
So far nko na X 35 sijui ni wanaume wapaya ama mimi ndio nko na shidaπ€π€π€π€π
Ulipo malisa kuwambia mengi mabaya kuniusu walikulipa ama Bado?πππ
Karibu karibu customer utate screen protector ya moyo ata ukiheartbreckiwa aifunjikiπ€£π€£π€£π€£π€£ππ
Umerudi soko lakini sides za ovagado kazi ni kufinywa na kuajwaπ€£π€£π€£π€£ππ
Mi nlikuwa naomba 2 plz m2 akikuta ruto amshow anisamee si Ety nlikataa kuliba hustler fan ni vile kimearibika nanunua jogoo ya 500 daily mtoto apeleke shuleπ€π€π€π€π
Imagine Unaolewa Leo kesho umeandika majina zko kwa mitungi zote adi vikombeπ€£π€£π€£
Click here to claim your Sponsored Listing.