CayteAkaro Talents Owner
Her Ownπ 31.12. LL.B Jurist βοΈπ©ββοΈπΉπΏ
#HairBraiding #Massage #HennaTattoos #ApplicationForVisa
#InNungwi-Zanzibar #GoodPrice
Elfu tano ya zamani ndo million kumi ya leo
Kwahiyo ku like na ku comment kwenye posts zangu mpaka nipost picha zangu?? πππ
β€β€β€β€β€β€β€
Kimeumana π π
Lakini hii watu kupotea inaogopesha Sana. To be honest Amani haipo.
Dah!! π₯²π₯²hapo kwenye kulipa Kodi paniliza Sana aiseeeee, nimelia mnoooo
Dah!!!!!π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Wenye mnaletewaga haya maua mnawapaga nini waletaji?? Au huwa mnafanyafanyaje hadi mnaletewa?? πππ
Simba SC Tanzania wamecheza mpira mzuri sana. Tulieni tu kuna furaha nyingi zaja.π€π¦
Jela ndo wapi?
Je, ulishawahi kutishiwa maisha na mtu??
Ewe binti uliyechinja mtoto koromeo nakukumbusha tu hii Dunia ni ndogo sana
Lakini amani ni kitu muhimu sana. Usikubali mtu yeyote alete uvunjifu wa amani yako.
Dunia haina huruma.
Bado mnakopa kausha Damu??
ππ
Saivi kila sehemu kuna taharuki tu hamna ata pa kukimbilia
Hivi mna habari yoyote kuhusu mimi?π₯
Hello fans nimewamiss sana ndugu zanguni.
Hii siyo ajali ya chombo cha moto ni mtu (mwanamke mwenzangu) kajichukulia sheria mkononi akaona mwili wangu ni ngoma. Tuombe kwa pamoja aende jela tu. No way out.
π
πππππππππ
Goodmorning fans!
Kwani watu wakiishi sogea tukae k**a mume na mke kuna ubaya gani?? ππ
Kutoweka kidogo tu nimekuta kina mwafulani washachukua Kombe dah!!!π€
Zaburi 91
10 Mabaya hayatakupata wewe, Wala tauni haitaikaribia hema yako.
Mi nipo sana tu. π€
Ahsante Mwenyezi Mungu kwa yote unayonijalia π€²πβ€
Kuna watu hawastahili kupewa pole wakiwa kwenye mapito magumu acha wakome tu.
Hello guys!! Miss you
Nimeamka salama namshukuru sana Mungu π
Click here to claim your Sponsored Listing.
Videos (show all)
Contact the practice
Address
Ilala
Dar Es Salaam
0000
Bibi T**i Mohammed
Dar Es Salaam, 78458DSM
TRAWU-Tanzania railway workers union οΏ½ Chama cha wafanyakazi wa reli Tanzania οΏ½CHAMA CHUMA,MIKAKATI IMARA..KINGA YA WANATELI.
Room 201, Mkulima House Building, Mabibobo Hostel Mandela Road, Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
We provide Corporate Advisory Services to help businesses of all types develop and grow, whether organically or through mergers and acquisitions. We are able to facilitate such tra...
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam, 255
We The leading Divorce Lawyers and Family Law practices in the country. Providing You With Advice On
Kiko Avenue
Dar Es Salaam, PLOTNO.270
A modern Law Firm, Specialized in Corporate, Tax, Insurance Law & Consultancy
Bunju B, Near Petro Africa , Opposite Bunju B Local Market
Dar Es Salaam
ArkLife & MG Plan deals with plots selling,land selling,land consultancy,land map preparation and all estate business..
Dar Es Salaam
huu ni ukurasa maalumu wa kukumbusha matukio mbalimbali ya kifamilia hasa hasa kwa walengwa kutoka k
Dar Es Salaam
Mtaa una uhitaji kuelewa Sheria za nchi vizuri ili kuzitii na kufuata lengo ni kudumisha Amani nchini
Nairobi, Muthaiga Square
Dar Es Salaam, 00100
Our Services: Dispute Resolution,Commercial, Land,Tax,IT,Family,Criminal, Labour & General Practice