Kituta business advertisements
Je Unataka kutangaza biashara yako? Order tupigie:-
+255715116767 na Watsap
+255765116767
+25578511
Available kwa 23000/= tu
Ubora wa hali ya juu
JBL Air F9 prot SPECIFICATIONS
700 Charging system yake inaweza kutumika k**a power bank kukuwezesha kucharge simu Yako pia
✏ Pure Bass with clear and stereo sound inayokufanya ufurahie mziki mzuri
✏ 700 Inakaa na chaji Kwa mda mrefu ikiwa sikioni unasikiliza mziki masaa 5 +t nonstop
✏ Unique design hivyo kuifanya iwe na muonekano mzuri inapokua sikioni
Inakaa na kushikilia vizuri sikioni hata ukiwa unakimbia haianguki hivyo kufaa Sana Kwa watu watakaohitaji kuitumia
wakati wa mazoezi
✏ Hairuhusu maji Wala jasho kuingia ndani yake hivyo kukuwezesha kuitumia hata wakati wa mvua ukiwa barabarani
✏ Inakuwezesha kupokea kukata na kuongea na simu ukiwa mahali popote
AHaiharibiki haraka hivyo kukufanya uweze kuitumia Kwa mda mrefu na kuepusha gharama za kununua nyingine mara Kwa mara
✏ Ina support iphone na android
Inapatikana kwa sh 23000/= tu
Wasiliana nasi kupitia :-
0785116767 au 0715116767
Hellow wapendwa karibuni mjipatie Lishe bora na safi kwa matumizi Nyumbani na kwa watoto.
Lishe yenye mchanganyiko wa Mahindi Lishe, Soya Lishe, Mtama, Mchele, Maboga na Ngano.
Tunapatikana Dar es Salaam na pia tunafanya Delivery maeneo yote Tanzania kwa gharama nafuu.
Pia tunapokea oda za wateja wa Jumla na reja reja.
Kwa mawasiliano piga.
+255 715116767 au +255 785116767
Safiriri nasi sasa kwa gharama nafuu na uhakika wa safari.
K2 PRODUCTS TUNAKULETEA mafuta halisi ya ya NYONYO
Faida za mafuta ya NYONYO ni :-
🌷Hukuza nywele
🌷Huondoa mba
🌷Hufanya nywele kuwa nyeusi
🌷Huotesha nywele kwa wenye vipara
🌷Hufanya nywele kuwa nzito
🌷Yanatumika kwa jinsia zote.
🌷Yanatumika kwenye nywele aina zote zenye dawa na zisizo na dawa
🌷Mafuta haya yanatumika kufanyia Massage nk.
Nahitaji Agents sehemu zote Tanzania
Bei jumla
Mills 100 Tsh 3000/=
Mills 200 Tsh 5000/=
Mills 250 Tsh 7000/=
Lita Tsh 13000/=
Lita 5 Tsh 65000/=
Reja reja
Mills 100 Tsh 4000/=
Mills 200 Tsh 7000/=
Mills 250 Tsh 10000/=
Lita Tsh 15000/=
Lita 5 Tsh 75000/=
Punguzo la bei kwa wateja wa jumla Linazingatiwa zaidi
Karibuni sana.
Tupigie:-
0785 116767
0765 116767
0715 116767
Dawa ya meno inayotibu maumivu ya ,jino limetoboka,harufu mbaya mdomoni,meno yamelegea au kutoka damu na kuvimba kwa fizi.
Tunapatikana mbezi ya kimara
Wasiliana nasi kwa namba
0785116767 au 0715116767 @ Dar es Salaam, Tanzania
Je unasumbuliwa na JINO?
K2 Products inakuletea Dawa ya meno ya mitishanba,inatibu jino bila kung'oa,inatibu fizi zilizo vimba na kutoa damu,inatoa harufu mbaya kinywani,meno yalio toboka na yalio legea.
Dawa hii inapatikana kwa ujazo wa gram5 kwa Sh 5000/= Popote unaletewa kwa gharama nafuu.
Piga:-
0785116767
0765116767
0715116767 = kwa Wasap pia @ Dar Es Salaam, Tanzania, East Africa @ Dar es Salaam, Tanzania
Tunauza unga wa Alkasusi 250g kwa bei ya Tsh 5000/=.
Tunafundisha jinsi ya kuiandaa
Pia tunafanya delivery kwa Dar es salaam.
Mikoani tunatuma.
Piga 0715116767 au 0785116767 au 0765116767. @ Dar es Salaam, Tanzania
Story.... KIJIJINI KWA BIBI(18+)
Mtunzi...kituta jr
Call...0715 116767
Sehemu....01
"Fabi! we Fabi.."
"Naam Mama nipo chumbani Kuna kazi naifanya, ulikuwa unasemaje?" Nilimjibu Mama Baada ya kusikia with wake.
"Njoo mara moja baba ako anashida na wewe"
"Sawa Mama nakuja "niliitikia na Kisha kuvaa T-shirt langu kwani wakati naitwa nilikuwa kifua wazi ,nilizima TV na Kisha kutoka nje.
"Shikamoo baba"
"Marhaba,umeamkaje ?"
"Salama tu sijui nyie?"
"Si tumeamka salama ,okay! Ushakunywa chai tayari "
"Hapana ndo nilikuwa nataka nitoke"
"Sawa basi twende tukanywe Nina mazungungumzo machache na wewe "
Tulipofika dining room tukaanza kunywa chai huku mazungumzo ya kawaida yakiendelea,
"Unajua Fabi ni miaka mingi haujaenda kumsalimia Bibi ako unaonaje mwezi huu ufanye mpango uende"
"Sawa baba lakini ratiba yangu haijakaa sawa nadhani itapendeza K**a nikienda Baada ya kuhitimu kozi ya diploma au unaonaje ?"Nilimwambia.
"Ni kweli huu ni mwezi wa tisa diploma si mwezi wa kumi ?!"
"Ndio ,lakini wakati huu inatakiwa nijiandae kwa ajili ya chuo" Nilimwambia baba ,akainamisha kichwa na kufikiri kidogo,
"Fabi unaonaje diploma uende mwakani angalau kwa hii miezi michache umtembelee Bibi ako atajisikia vyema,ni kitambo sana hamjaonana"
"Ngoja nijifikilie Kwanza jioni nitakupatia jibu "Nilimwambia
"0kay tutaonana baadae "alinijibu
"Kazi njema"
"Na kwako pia"
Baba alitoka nje na Kisha kuingia ndani ya Gari lake,Baada ya baba kutoka nilichukua simu yangu na kuanza kucheki message ambazo sikuzijibu kwa WhatsApp,
SONGA NAYO......
"Darling umeamkaje" message kutoka kwa mrembo wa kitaa aitwae Rose iliingia,sikuwa na bando kwa hiyo nikatoka nje upande wa garden (bustanini) Kisha nikampigia.
"Mambo mrembo"niliongea Baada ya simu yangu kupokelewa .
"Pia hensam wa nguvu nimekumisi Mzima wewe ?" Aliongea kwa mapozi.
"Mi Mzima leo mchana tukutane kwenye lodge ya siku ile Nina hamu na wewe balaa!"
"Poa darling ,utanikuta ndani tayari nishalipia chumba"
"Sawa basi utaniambia namba ya chumba,usisahau kuagiza msosi na vinywaji"Nilimwambia.
■ Itaendelea au kuipata full nicheki kupitia 0715116767 watsap
Dawa ya meno ya mitishanba,inatibu jino bila kung'oa,inatibu fizi zilizo vimba na kutoa damu,inatoa harufu mbaya kinywani,meno yalio toboka na yalio legea.
Dawa hii inapatikana kwa ujazo wa gram5 kwa Sh 5000/= Popote unaletewa kwa gharama nafuu.
Piga:-
0785116767
0765116767
0715116767 = kwa Wasap pia @ Dar Es Salaam, Tanzania, East Africa
Dawa ya meno ya mitishanba,inatibu jino bila kung'oa,inatibu fizi zilizo vimba na kutoa damu,inatoa harufu mbaya kinywani,meno yalio toboka na yalio legea.
Dawa hii inapatikana kwa ujazo wa gram5 kwa Sh 5000/=
Popote unaletewa kwa gharama nafuu.
Piga:-
0785116767
0765116767
0715116767 = kwa Wasap pia @ Dar Es Salaam, Tanzania, East Africa
Tunapatikana pia kwa:-
0785116767
0715116767
0765116767
part 2
Bidhaa bora ya unga wa Alkasus Mujarab soon sokoni.endelea kuwa nasi
Tembelea ukurasa wetu wa instargram kila mara kwa story na hadith za mapenzi na kusisimua.
ALKASUS MUJARAB sasa inapatikana kwa bei ya Tsh 5000/= 250g robo kilo.
Pia tunafundisha jinsi ya kuiandaa.
Toa oda yako sasa kwa kupitia :-
0785116767
0765116767
0715116767
K2 super brand tunakuletea bidhaa bora ya kujikinga na maambukizi ya virus vya CORONA (COVID19).
Bidhaa yetu inapatikana kwa bei ya Tsh 8000/= derivery Tsh 10000/=.
Tunapatikana kwa 0785116767 au 0715116767 @ Mbezi Louis
Kwa mahitaji ya Ubuyu safi toka zanzibar,kahawa safi toka Bukoba na Mbeya na Lishe safi yenye mchanganyiko wa nafaka zenye protein,wanga na fati wasiliana nasi kupitia:-
0785116767
0765116767
0715116767
Hakika tutakufikia popote ulipo. @ Dar es Salaam, Tanzania
Kile kitabu cha SYLVIA BROWN mwana dada alietabili kutokea kwa majanga (Ugonjwa utakao tikisa dunia) katika mwaka 2020 kipo katika mifumo ya HARDCOPY na SOFTCOPY kwa bei poa kabisa.
Wasiliana na sisi kupitia +255715116767 au +255785116767 ili ujionee na kujua mengi alio yatabili mwana dasa SYLVIA.
Bei Hardcopy Tsh 17000/=
Bei Softcopy Tsh 8000/= @ Dar es Salaam
Kile kitabu cha SYLVIA BROWN mwana dada alietabili kutokea kwa majanga (Ugonjwa utakao tikisa dunia) katika mwaka 2020 kipo katika mifumo ya HARDCOPY na SOFTCOPY kwa bei poa kabisa.
Wasiliana na sisi kupitia +255715116767 au +255785116767 ili ujionee na kujua mengi alio yatabili mwana dasa SYLVIA.
Bei Hardcopy Tsh 17000/=
Bei Softcopy Tsh 8000/= @ Dar es Salaam
K2 products:-
Toa oda yako sasa 0715116767 au 0785116767
Bidhaa bora toka K2 products
ALKASUSU MUJARAB sasa inapatikana kwa bei ya Tsh 5000/= robo kilo.
Pia tunafundisha jinsi ya kuiandaa.
Toa oda yako sasa kwa kupitia :-
0785116767
0765116767
0715116767
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the public figure
Website
Address
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
Tunauza mawigi kwa bei poa kabisa kwa bei ya jumla na rejareja, mawigi yote ni original human hair lace wig na tunafanya delivery Dar, mikoani na nje ya Tanzania karibuni sanaa��
Dar Es Salaam
TUNA UZA FURNITURE AINA ZOTE NA VIFAAAA VYA UMEME PAMOJA NA GAS KARIBU SAANA 0764507181 TUPO KIBO AU UBUNGO MAJI
Mtaa Wa Mchikichi Na Gogo
Dar Es Salaam
wauzaji wa jumla na wasambazaji wa vifaa vya ujenzi nchini kote