Prophet Clear Malisa
To change People Destiny through Knowledge, prophecy, and healing
Nafikiri Imeeleweka...?
KARIBU KWENYE JUMAPILI KUBWA YA UWEKEZAJI..! Ni Siku pekee inatukutanisha wote Ili kupokea neema na Hekima itokayo juu, ya kutusaidia katika miradi tuifanyayo! Karibu mwekezaji, Mfanyabiashara na mfanyakazi hii ni siku maalumu imetegwa kwaajili yako...!
Ibada Hii Itaambatana na kumiminiwa mafuta ya kifalme...USIKOSE.
HII ITAKUSAIDIA KUIJUA HATIMA NA KUSUDI LA KUUMBWA KWAKO.
Watu wengi wanafikili ukiwa na mojawapo ya huduma tano za Yesu Kristo, Iwe ni mtume, nabii, mchungaji, mwalimu au mwinjilisti, Basi utumishi wao unaishia ndani ya kuta nne za kanisa...! Lakini si hivyo tu, kuna uwanja mpana zaidi ya huo, ambao Mungu anataka utumike...!
Biblia Inasema kwa habari ya Daudi, alikua ni nabii asiyekua na kanisa.
(A Prophet in politics)
Matendo 2:29-30
Waume, ndugu zangu, mniwie radhi, niseme kwa ujasiri mbele yenu habari za baba yetu mkuu, Daudi, ya kuwa alifariki akazikwa, na kaburi lake liko kwetu hata leo. Basi kwa kuwa ni nabii, akijua ya kuwa Mungu amemwapia kwa kiapo, ya kwamba katika uzao wa viuno vyake atamketisha mmoja katika kiti chake cha enzi;
Kwaiyo Mtu anaweza kuwa Nabii kwenye siasa, k**a alivyokua baba yetu Daudi, Au Mtume kwenye biashara, Muinjilist kwenye Elimu n.k
Tunamuona Mtu wa Mungu, Yusufu hakuwahi kuombea mtu, kushusha moto k**a eliya, Alikua ni nabii aliyeonekana akitafsiri ndoto...na baadae kuwa kiongozi mkubwa katika Taifa la ugenini(Misri), Mungu alimtumia kuachilia Hekima iliyotumika kuitoa dunia katika Janga la Njaa.
USIKU WA LEO, NAKUOMBEA INUKA UKAWE MTUME KWENYE BIASHARA, MUNGU AKAKUTUMIE KWA STAILI AMBAYO HAIJAWAHI ONEKANA KWENYE KIZAZI ICHI.
(Kulipata somo hili, nenda katazame ibada ya pili, ya jumapili ya leo kwenye account yangu ya YouTube)
THE NIGHT OF PRAYER AND PROPHECIES
With Oracle of God
👉Sow Your Seed Through;
World remit, AIRTEL MONEY NO: +255 684 343 008
Share The Broadcast.
Endelea Kuwa na Ushirikiano na Nabii wa Hatima:
Stay Connected with Prophet of Destiny:
+255 745 801 111 (WhatsApp and normal calls )
Instagram: https://instagram.com/prophetclearmalisa?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Facebook: https://www.facebook.com/Kingdomembassytanzania
TikTok: https://www.tiktok.com/?_t=8dg809hFNIr&_r=1
THE NIGHT OF PRAYER AND PROPHECY
With Oracle of God
👉Sow Your Seed Through;
World remit, AIRTEL MONEY NO: +255 684 343 008
Share The Broadcast.
Endelea Kuwa na Ushirikiano na Nabii wa Hatima:
Stay Connected with Prophet of Destiny:
+255 745 801 111 (WhatsApp and normal calls )
Instagram: https://instagram.com/prophetclearmalisa?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Facebook: https://www.facebook.com/Kingdomembassytanzania
TikTok: https://www.tiktok.com/?_t=8dg809hFNIr&_r=1
KUHUSU UNABII WA AJALI YA MOTO ULIOTOKEA LEO TAREHE 1/October 2023.
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu kwa Kunipa neno hili, na kuniamini niwe saauti ya Hatima katika nchi hii, Na Pili niwape pole wahanga wa tukio hili la kusikitisha.
Nachoweza Kusema TUKIO HILI ILIBIDI LIWE NA MAAFA MAKUBWA YA WATU KUPOTEZA UHAI, AMBAPO KWA REHEMA ZA MUNGU AMEEPUSHA KWA SEHEMU KUBWA NA HAKUNA ALIYEDHULIKA IVYO MPAKA SASA, Na Ifahamike hii ni baada ya kuliombea.
Jambo hili Mungu aliniruhusu niliseme jumapili iliyopita ya tarehe 24 September 2023, wakati wa Ibada ya pili, tukiwa live kupitia wasafifm, wasafitv na ebonyfm. NA LEO TAREHE 1/October limetimia.
SIFURAHI KWAKUA UNABII UMETIA, NAFURAHI KWA KUA MUNGU BADO ANA SEMA NA WATU WAKE ATA SASA.
WAKATI WOWOTE MUNGU ANENAPO MWENYE HEKIMA HUSIKIA, NA KULIFANYIA KAZI.
SOLOMON CLUB SEASON ONE
With Oracle of God
👉Sow Your Seed Through;
World remit, AIRTEL MONEY NO: +255 684 343 008
Share The Broadcast.
Endelea Kuwa na Ushirikiano na Nabii wa Hatima:
Stay Connected with Prophet of Destiny:
+255 745 801 111 (WhatsApp and normal calls )
Instagram: https://instagram.com/prophetclearmalisa?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Facebook: https://www.facebook.com/Kingdomembassytanzania
TikTok: https://www.tiktok.com/?_t=8dg809hFNIr&_r=1
THE NIGHT OF PRAYER AND PROPHECIES
With Oracle of God
👉Sow Your Seed Through;
World remit, AIRTEL MONEY NO: +255 684 343 008
Share The Broadcast.
Endelea Kuwa na Ushirikiano na Nabii wa Hatima:
Stay Connected with Prophet of Destiny:
+255 745 801 111 (WhatsApp and normal calls )
Instagram: https://instagram.com/prophetclearmalisa?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Facebook: https://www.facebook.com/Kingdomembassytanzania
TikTok: https://www.tiktok.com/?_t=8dg809hFNIr&_r=1
Last NPP was on fire...🔥🔥! USIKOSE CLUB YA KING SOLOMON WEEK HII.
THE NIGHT OF PRAYER AND PROPHECIES
With Oracle of God
👉Sow Your Seed Through;
World remit, AIRTEL MONEY NO: +255 684 343 008
Share The Broadcast.
Endelea Kuwa na Ushirikiano na Nabii wa Hatima:
Stay Connected with Prophet of Destiny:
+255 745 801 111 (WhatsApp and normal calls )
Instagram: https://instagram.com/prophetclearmalisa?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Facebook: https://www.facebook.com/Kingdomembassytanzania
TikTok: https://www.tiktok.com/?_t=8dg809hFNIr&_r=1
HOLY COMMUNION
With Oracle of God
👉Sow Your Seed Through;
World remit, AIRTEL MONEY NO: +255 684 343 008
Share The Broadcast.
Endelea Kuwa na Ushirikiano na Nabii wa Hatima:
Stay Connected with Prophet of Destiny:
+255 745 801 111 (WhatsApp and normal calls )
Instagram: https://instagram.com/prophetclearmalisa?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Facebook: https://www.facebook.com/Kingdomembassytanzania
TikTok: https://www.tiktok.com/?_t=8dg809hFNIr&_r=1
JUMAPILI KUBWA PEKEE...//BIG SUNDAY.
Ni ufunuo wa Ajabu, I can't wait to minister to you siku ya kesho.
Kesho ni Siku ya UFUNUO WA DAMU// REVELATION OF BLOOD...! wahi mapema ushiriki Ibada hii kubwa ndani ya Jumapili kubwa, Itakayo ambatana na kunywa Damu ya Yesu. Karibu ukutane na YESU MKOMBOZI//JESUS THE SAVIOR.
👉Ibada ya Kwanza: Saa 12:00- Saa 1:45asubuhi [English service]
👉Ibada ya Pili : Saa 2:00 asubuhi- Saa 5:30
👉Ibada ya tatu: Saa 6:00 mchana- Saa 10:00 jioni.
THE NIGHT OF PRAYER AND PROPHECY
With Oracle of God
👉Sow Your Seed Through;
World remit, AIRTEL MONEY NO: +255 684 343 008
Share The Broadcast.
Endelea Kuwa na Ushirikiano na Nabii wa Hatima:
Stay Connected with Prophet of Destiny:
+255 745 801 111 (WhatsApp and normal calls )
Instagram: https://instagram.com/prophetclearmalisa?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Facebook: https://www.facebook.com/Kingdomembassytanzania
TikTok: https://www.tiktok.com/?_t=8dg809hFNIr&_r=1
THE NIGHT OF PRAYER AND PROPHECY
With Oracle of God
👉Sow Your Seed Through;
World remit, AIRTEL MONEY NO: +255 684 343 008
Share The Broadcast.
THE NIGHT OF PRAYER AND PROPHECY
With Oracle of God
👉Sow Your Seed Through;
World remit, AIRTEL MONEY NO: +255 684 343 008
Share The Broadcast.
🔴LIVE:THE BEAUTY OF GOD - With Oracle of God
👉Sow Your Seed Through;
World remit, AIRTEL MONEY NO: +255 684 343 008
Share The Broadcast.
THE NIGHT OF PRAYER AND PROPHECY
With Oracle of God
👉Sow Your Seed Through;
World remit, AIRTEL MONEY NO: +255 684 343 008
Share The Broadcast.
Jana kwenye usiku wa Malaika, Ilikuwa hatari fire 🔥🔥 MAOMBI NA UNABII wa kila siku, kumejaa Shuhuda na matendo makuu ya Mungu aliye.
USIKOSE KUSHIRIKI TENA PROGRAM HII YA PRAYERS AND PROPHECIES JIONI YA LEO.
THE NIGHT OF PRAYER AND PROPHECY
With Oracle of God
👉Sow Your Seed Through;
World remit, AIRTEL MONEY NO: +255 684 343 008
Share The Broadcast.
IVI NI KWELI TUNDA LA ROHO NI MOJA?
THE NIGHT OF PRAYER AND PROPHECY
With Oracle of God
👉Sow Your Seed Through;
World remit, AIRTEL MONEY NO: +255 684 343 008
Share The Broadcast.
BE AWARE...! Tafadhali, fahamu hili...Namba hii ya +255715070135, HAIPO TENA CHINI YA PROPHET MALISA, WALA HAITUMIKI KWAAJILI YA HUDUMA...ZA KIROHO, ZITOLEWAZO NA PROPHET, HIVYO K**A BADO UNAYO, UNATAKIWA KUI-BLOCK NA DELETE. EPUKA KUTAPELIWA USITUME MAOMBI WALA SADAKA, USIRUBUNIWE KWA KUWEKEWA PICHA YA NABII.
BADALA YAKE TUMIA +255622070135.
UKIPATA UJUMBE HUU, MTAARIFU NA MWINGINE. ASANTE
Biblia Inasema, AMHURUMIAYE MASKINI HUMKOPESHA BWANA, NAE ATAMLIPA KWA TENDO LAKE JEMA. [Mithali 19:17].
Usiache kutenda Mema, usiache kua mtu mwema, Maana Yesu amebakiza watu wema wa chache chini ya Jua.
Mathayo 25:42-45
kwa maana nalikuwa na njaa, msinipe chakula; nalikuwa na kiu, msininyweshe.
nalikuwa mgeni, msinikaribishe; nalikuwa uchi, msinivike; nalikuwa mgonjwa, na kifungoni, msije kunitazama.Ndipo hao pia watajibu, wakisema, Bwana, ni lini tulipokuona wewe una njaa, au una kiu, au u mgeni, au u uchi, au u mgonjwa, au u kifungoni, tusikuhudumie?. Naye atawajibu, akisema, Amin, nawaambia, Kadiri msivyomtendea mmojawapo wa hao walio wadogo, hamkunitendea mimi.
KAA TAYARI....🔥🔥
Nikupe Pole kwanza, K**a ulikosa Kongamano siku ya Jana....! Hakika mambo yalikua ni hatari fire..🔥🔥, Maana Yesu aliamua kuwavusha watu wake na familia zao...! Uponyaji wa kutisha wa papo kwa papo, Prophetic touch za unabii was not just prophesy, It was life transforming moment. Kwa kifupi k**a ulikosa siwezi kukuficha umekosa kitu kikubwa, na ukizingatia ulikua ni uponyaji wa familia.
Nilichopenda zaidi wakati watu wanamiminiwa mafuta ya Hatma na kibali, ndipo neno la Bwana likafunuliwa kwa kinywa cha nabii kusema; NI MAJIRA YA WATU KUVIKWA UWEZA WA MUNGU.
Ukiona mtu anapotea na kupoteza alivyonavyo, au akipoteza kusudi la Mungu kwenye maisha yake , na kushindwa kufikia malengo yake, na wengine kukata tamaa ya kuishi na kufanikiwa, ni dalili ya kwamba mtu huyu haujui na wala hajavikwa UWEZA WA MUNGU.
Neno la Mungu linasema katika kitabu;
Mathayo 22:29
Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu.
Haya ni Majira ya kuto kupotea tena, Ni majira ya KUVIKWA UWEZA WA MUNGU. Ni jumapili ya kesho pekee utaenda kuvikwa uweza wa Mungu, na kupokea neema ya kuwa Mtu wa Tofauti. Ibada hii itaambatana na kula asali ya madhabahuni.
USIKUBALI KUPITWA TENA, USIKOSE, WALA KUPUUZIA IBADA HII, NI MUHIMU KWAKO NA FAMILIA YAKO.
K**ata Hii....👇👇🔥
Click here to claim your Sponsored Listing.
Videos (show all)
Category
Contact the public figure
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
Pan African Designer, Mustafa Hassanali has showcased in 33 cities in 23 Countries & named One of Af
Ilala
Dar Es Salaam, 0000
Her Own🎂 31.12. LL.B Jurist ⚖️👩⚖️🇹🇿 #Artist #HairStylist #Cook #Politician #Decorator
Dar Es Salaam
Emerging entrepreneur from Tabora Tanzania @Power brand Shop ||Chief Executive Officer (CEO) .
Gongo La Mboto
Dar Es Salaam
mtu anaekupenda kwa dhati lazima akuhurumie maana mapenzi ya dhati na HURUMA huishi pamoja