Mikasa ya Mapenzi na visa vyake
Mahusiano na changamoto zake
Watu Wana maneno
🤣 Eti ile ngumi aliyopigwa mwamba inaitwa ngumi ya maombolezo
Vipi mdau hapo Leo ni tarehe 16 umeme upo hapo kwako
Mjue mwanamke mwenye uke mkubwa zaid kuwahi kutokea Duniani,
Alijulikana kwa majina ya Anna Swan akitokea nchi ya Canada, ambaye alifariki mwaka 1888 akiwa na umri wa miaka 41.
Alikuwa ni jitu la miraba minne (Giant) maana akiwa na umri wa miaka 11 tu alikuwa na uzito wa Kg 96 ,na wakati akiwa na miaka hyo 11 pekee mama yake alimzidi kidogo urefu wa inchi mbili tu (2 inches)
Uke wake ulikuwa na upana wa sentimita 41 ambapo ni sawa na ukubwa wa mpira wa Rugby.
Msanii wa Muziki kutoka Tanzania, BABA LEVO, wakati Akiwa kwenye Interview na amefunguka kuhusiana na kupigwa na Harmonize
Kwa maelezo yake alisema Kuwa,
" ilikuwa siku ya Jumamosi, Saa 8 usiku ambapo walikuwa kwenye Casino kubwa Tanzania, na Siku hiyo kulikuwa na Baadhi ya mastaa wakiwemo directors pamoja na wasanii wakubwa akiwemo Harmonize
" Kulikuwa na Tajiri Mmoja ambapo jmosi alishinda sana hela, baada ya Tajiri huyo kushinda akaniita na baadae akanipa Mil 10 Ambapo nichukue Mil 2 nyingine niwapelekee wenzangu Wagawane
" Sasa nilivyochukua Mil 10 ambapo nikachukua mil 2 na million 8 iliyobaki nikaweka Mezani, lakini nilivyogeuka Pembeni sikuona mil 5, nikauliza nani aliyechukua nikaambiwa Harmonize
" Kwaiyo Jambo hilo sikulipenda mana Tajiri alinipa ili niwagawie wenzangu ambapo Walikuwa 9 pamoja na Harmonize, kwaiyo baada ya kutetea ndo akanipiga " amesema Baba levo
😂
STAKIIIIIIIUIIII😒😒😒😒
Assalam alaykum warahimatullah wabarakatuh wanaohotaji nusra ya ndoa Allah awape na mm pia nahitaji nusra ya ndoa
Naitwa Aisha mume awe na jina nzuri
Naishi tanga mume anaeishi popote pasiwe njia ya kijiji kabisa
Kabila ni msambaa mume kabila yeyote
Ninaumri 27 imeshfika mume alienizid miak mi3 had 9
Nimezaliwa ndani ya ndoa mume alie zaliwa ndani ya ndoa
Awe muislam mimi muislamu
Awe msafi awe mweup km mm au kunizid rangi
Mm nipo nyumbn tu sina kaz za mshara mm mndefu sio mnene wala mwembamba
Mm bikra
Kijani hicho 🤔
Sio vizuri kufos mdada akiwa kwenye ujauzito kufanya harusi pua inakua bado imevimba na uso
Ila anyway hayawi hayawi yamekuwa dada kaolewa😋
Umemtambua nani pichani
Kwenye mchezo wa juzi kati ya Al Nassr na Al Hilal refa ambaye alikuwa mwanamke alijaribu kumpa tabasamu Cristiano Ronaldo, mke wa Ronaldo hakufurahia tukio hilo
Wanawake saluti kwenu😁
Hata k**a maisha magumu tusijibane kwenye kula
PHINA ANAWAVUA NGUO FAMILIA YAKE, ATAPATA TABU KUPATA MME.
Anachokifanya Phina ni aibu tupu kwa familia yake. Anawavua nguo hadharani tena mbele ya umati wa watu. Baada ya kuwa na utaratibu wa kupiga picha za nusu uchi, sasa ameamua kukaa mikao tofauti ya kufanya mapenzi . Nashindwa kuelewa hivi hahofii kuwa atakosa mme?
Wanaume waoaji wako wachache sana afu yeye anajianika juani k**a mjusi.
Ni mwanaume gani atakwenda kuoa mke anayeweka viungo vyake vya siri nje?
K**a kila mtu anaviona , hakuna hata haja ya kuitwa viungo vya siri.
Familia yake hata k**a hawamwambii lakini moyo utakuwa unauma sana. Piga picha phina awe mtoto wako au dada yako, ungejisikiaje?.
Ni aibu tupu .
Sielewi lengo lake ni lipi au kuna uhusiano kati ya kuimba na kukaa style hizi alizokaa?
Mbona Nandy hafanyi hivi na anawakimbiza wasanii wakubwa k**a Harmonize na Diamond?
Akijakushtuka jua litakuwa limezama sana
Inasemekana Baba Levo kala mitama ya kutosha kabamizwa ka mtoto na Harmonize
Wazinifu wote hawatoingia Peponi iwapo watakufa Bila toba, na yeyote anaewatelekeza wazazi wake naye pia hatoina pepo ya Allah, Keep it in your mind, Assalam aleikhum 👋
Tujikumbushe..
TRA wamesababisha nimekonda
Every woman's dream bedroom👉👉
KELVIN ALIKUWA ANAMCHEZEA DADA YETU, AMEMUHARIBIA MAISHA.
Inasikitisha sana kwa kitendo alichokifanya Kelvin kwa Hamisa Mobetto. Kwanza alimdanganya kuwa ana pesa na biashara kumbe hana chochote ni Dj wa kwenye bar. Lakini pia alihaidi kuwa atamuoa kumbe nia yake ilikuwa kumchezea na kumuharibia maisha yake.
Hii haikubaliki hata kidgo, wanaume wangapi walikuwa wanampenda Hamisa wakamkosa kisa Kelvin?.
Yaani kaamua kupanda ndege kuja kumchezea dada yetu na kumuacha!.
Ifike hatua itungwe sheria kali mwanaume akimchezea mwanamke na asimuoe amlipe fidia au afungwe hii itasaidia kupunguza mambo k**a haya.
K**a Kelvin atakanyaga tena Bongo, ak**atwe Ash*takiwe amlipe fidia Hamisa. Haiwezekani huenda bila Kelvin Hamisa angekuwa ameolewa mpaka sasa..
Najiuliza sasa alipata faida gani ?
Nini maoni yako juu ya hili?
HEMED PHD ATAJA A.K.A ZAKE
"Ooh my GOD!! ooh my GOD!! ooh my Godness!!, this is your favourite boy wananiita Felnando Papi, Karitolinasto Armando Felila, Morientesi, Moravido, Marcelo Kuchito Papa Gichito, Gustavo, Ole Sabaya Hamza Mwamposa Kapumbu, aaih Kardashiani. Wananiita Pumbuyo, Punyeto, Papusi a.k.a Mguu wa mtoto wa miaka saba mpaka nane"- ameandika Hemedy PHD, Mwigizaji wa filamu Tanzania.
Toa maoni yako.
HILI NDILO ANGUKO LA CHINO.
Wahenga walisema " Boss hanuniwi wala hakosei" . Haya maneno yana busasa kubwa sana ndani yake. Lakini pia walisema " Jifanye mjinga mwanaharamu apite".
Chino amekuwa kwenye ugomvi na Marioo ambaye ndiye aliyemtambulisha katika tasnia hii ya Muziki.
Chino alianza k**a dancer wa Marioo akiwa hana chochote, analishwa, analipiwa kodi na Marioo lakini baada ya kupata vijisenti, amevimba mabega kiasi cha kuanza kumuongelea Marioo hadharani kwa ubaya.
Chino anatakiwa kujua bado muziki wake unachezwa Dar tu huko mikoani kwanza hawamjui hivyo anahitaji zaidi kukua. Hata k**a Marioo angemuweka kidole kwenye jicho, Chino alitakiwa kunyenyekea wala asingepungukiwa na kitu.
Boss hanuniwi, Boss hakosei.
Hili linaweza kuwa anguko la Chino katika Muziki. Sapoti aliyokuwa anaipata kutoka kwa Marioo sasa haipo. Je ataweza kupambana peke yake?.
Chanzo cha ugomvi, Marioo alimwambia aondoe picha yake katika bango la Show ya Chino kwani aliweka picha yake bila kumshirikisha.
Jana nilipita nje ya nyumba moja usiku nikasikia mwanamke anamwambia mumewe alale chali yeye anapanda kwenye kabati anaidondokea ..
Nyie watu mtakuja uana
Model huyo hapo Sasa wakwenda nae valentine day
Wadau wa muziki wa zamani nilitaka kujua hv kulikua na uhusiano gn Kati ya Steve nyerere na band ya twanga pepeta maana yule binti ambaye Sasa n marehemu alitajaga WASANII wenzie wa hyo band watakao mfata katika hyo list na Steve nyerere alikuwepo kwa anaejua data vizuri atupe maelezo.
je ni vibaya mwanaume kumuomba hela mwanamke?
Pale umeenda ukweni na mme wako afu nyumba haina silingibodi😂😂😂
K**a Jescer Prosper
Click here to claim your Sponsored Listing.
Videos (show all)
Category
Address
TABATA DAR ES SALAAM
Dar Es Salaam, 12345
PATA HABARI MBALI MBALI ZA KITAIFA NA KIMATAIFA, BURUDANI NA MICHEZO, MAISHA NA HISTORIA, KUPITIA BU
Magomeni, Mapipa
Dar Es Salaam
TV iliyojikita katika Maudhui kamili ya kumjenga Mwanadamu Kiiman, Tumejikita zaidi kutoa Elimu kwa
Masaki
Dar Es Salaam, 14110
GLOBIFY is a global digital media network, marketplace and platform that provides dynamic solutions and digital services based on programs and contents which inform, engage and ent...
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
Danvast TV inakuletea taarifa na makalaza za uhakika kutoka Africa Mashariki na Dunia. Makala za siasa, uchimi, biashara, burudani, michezo, Dini n.k, jiunge nasi sasa.
Mbondole, Msongola, Ilala, Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
Tunakupeleka kwenye ulimwengu wa ndoto zako
Dar Es Salaam
Karibu katika Channel yetu ya Wakali wa habari. kupata Matukio mbalimbali ya Injili, Burudani, Michezo, na HAbari nyinginyingi
Maweteta
Dar Es Salaam, MOSHI
#RomboTv🖥️_habari🖥️&matukio_tarakea_usseri_mashati_mamsera_mwika_shear comments likes following,