Afya tips

Afya tips

You may also like

Randolph Timi Lilou
Randolph Timi Lilou

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya tips, Medical and health, Ilala, Dar es Salaam.

01/09/2022

JE UNAPITIA CHANGAMOTO YA MIFUPA ???

-maumivu makali kwenye magoti
-magoti kushindwa kujikunja
-kusikia milio ya magoti kusagana
-kushindwa kuinama
-kusikia ganzi kwenye miguu
-mifupa kusagana
-maumivu kwenye maungio (joints)
-kiuno kuuma
-mgongo kuuma
-pingili za vidole kuvimba (gout)

SABABU KUU INAYO SABABISHA CHANGAMOTO HIZI NI K**A !

-Ajali
-Uzito ulipindukia
-kutumika kwa viungo kupitia kiasi mfano wanamichezo
-Historia ya familia
-Umri (30+)

JE UMEHANGAIKA KWA MUDA MREFU BILA SULUHU YA UHAKIKA ?

JE ULIFANYIWA UPASUAJI NA KUWEKEWA VYUMA ILA BADO MAUMIVU NI MAKALI SANA NA MIFUPA BADO INASAGANA ?

HUNA HAJA YA KUHANGAIKA TENA TUNAYO SULUHU YA VIRUTUBISHO AMBAVYO VITAONDOA KABISA CHANGAMOTO YAKO YA MUDA MREFU YA MIFUPA NA HAITOJIRUDIA TENA :

Wasiliana nasi kupitia
+255 759 854 980
……
Pia TUNATOA ELIMU BURE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP gusa link hii kujiunga
👇🏿
https://chat.whatsapp.com/KXCYGYPxaQ35HDlwxDOgqk

KARIBU TUKUHUDUMIE .ASANTE

28/08/2022

UGONJWA WA BAWASILI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE. 0624272067

Bawasiri ni nini
Huu ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/Hemorrhoid nk

SABABU YA BAWASILI

Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa Vinyama sehemu ya haja kubwa

DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI

1.kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa

2.kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa

3.kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa

4.kupata kinyesi chenye damu

5.kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya
MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI

1.Uzito kupita kiasi(Overweight)

Ujauzito
3.Kunyanyua vitu vizito na Mazoezi makali

4.Kukaa sana sehemu eneo moja mda mrefu

5.Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa( tendo la ndoa kinyume).

6.Kujisaidia Choo Kigumu.

Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya Tumbo
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni

AINA 2 ZA BAWASIRI

BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.

2.BAWASIRI YA NDANI

Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

Bawasiri ya dani ina hatua NNE ambazo ni:⤵⤵⤵⤵
HATUA YA KWANZA
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekani wakati wa kujisaidia.

HATUA YA PILI
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia

HATUA YA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe ama inaweza kurudi yenyewe baada ya muda

HATUA YA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi baada ya kujisaidia.

ATHARI ZA BAWASIRI

1.Upungufu wa damu mwilini

2.Kutokwa na kinyesi bila kujitambua

3.kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa

4.kupungukiwa nguvu za kiume

5.kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu

6.Kupata tatizo la kisaikolojia

Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
8.Mwili kudhoofika mwili na kinga kupungua

TIBA YA BAWASILI

Mara nyingi Tiba ilio zoeleka kwa hospital ni upasuaji

Ila tuna bidhaa ambazo zimewasaidia wengi zenye uwezo wa kuondoa bawasili bila upasuaji

Kwa maelezo zaid wasiliana nasi kupitia 0624272067

Want your business to be the top-listed Health & Beauty Business in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Ilala
Dar Es Salaam
12101
Other Medical & Health in Dar es Salaam (show all)
African Cure Tanzania African Cure Tanzania
Samora Towers, Floor C3, Room No. 217
Dar Es Salaam

Afya leo Afya leo
Dar Es Salaam

Tambua thamani ya Afya yako katika kufikia malengo yako.

Afya kwanza Afya kwanza
Ilala
Dar Es Salaam

JENGA AFYA YAKO SASA JENGA AFYA YAKO SASA
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

EMANUELY MSHAURI WA AFYA NA MTOA HUDUMA WA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA AFYA;!?MFANO TEZ DUME BILA UPASUAJI BAWASIRI UTI PID 0672518275

Simactz Simactz
Kijitonyama (Near Sinza Maalum School)
Dar Es Salaam

We connect student with internationally accredited university, we deal with medical tourism and High

MGAYA Health solutions MGAYA Health solutions
Dares Salaam
Dar Es Salaam

[email protected]

Mifugocare Mifugocare
Dar_es_salaam
Dar Es Salaam

MATIBABU, CHANJO NA UZALISHAJI WA MIFUGO AINA YEYOTE

Afya kavishe Afya kavishe
Mliman City Dar-es-salaam, Kinondoni, @Afya_kavishe
Dar Es Salaam

Tiba kwa matatizo ya UTI,PID,SUKARI,VIDONDA VYA TUMBO,UZAZI,TEZI DUME,NGUVU ZA KIUME,UVIMBE, n.k

Afya zone Afya zone
Muhimbili
Dar Es Salaam

Tunawasaidia watu kuboresha afya ya uzazi, kupunguza uzito na kitambi, kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na ngozi. Tuma ujumbe neno afya kwenda WhatsApp 0659414711 au piga s...

Ochieng medics Ochieng medics
0716795380
Dar Es Salaam

swashpolyclinic swashpolyclinic
Charambe Magengeni, Mbagala Rangi Tatu
Dar Es Salaam

We're working with Internal Medicine Specialist, Gynecologist, Pediatrician and Medical Directors.

Sm_medicstz Sm_medicstz
Mikocheni A
Dar Es Salaam

Tunauza: Vifaa Tiba, Crocs shoes, Uniform za watumishi wa afya (scrubs uniform)kwa jumla na rejareja