Mwalimu Wa Soka
Nearby public figures
Mbezi
Mbezi
Mbezi Luis
Mbezi
Mbezi
Mbezi
Mbezi
Mbezi
Mbezi
Mbezi
Mbezi Njeteni
Mbezi Beach
dar es salaam
Habari za michezo na burudani
Una lolote la kumwambia mzungu wa Simba SC (Dejan) ???
Neno moja kwa uongozi wa Simba SC .......
Full Time
Uganda 3-0 Tanzania
Orodha ya wachezaji waliotengeneza nafasi nyingi za kufunga magoli msimu huu ligi kuu Uingereza.
Kiungo wa Arsenal, Thomas Partey anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki mbili kutokana na majeraha.
Vile mashabiki wa Chelsea wamewahi kanisani leo kuiombea timu yao😃
Full Time
Southampton 2-1 Chelsea Fc
Usiku mwema The bluesss
Mohammed Ouattara
Joash Onyango
Ukiambiwa umchukue mmoja, unaondoka na nani?
Saa 2:00 usiku leo Simba SC watacheza mchezo wa kirafiki nchini Sudan dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana. Mchezo utarushwa Live na Azam TV.
Arsenal wameshinda michezo yao yote minne ya mwanzo ya ligi kuu Uingereza. Arsenal ya msimu huu ni moto 🔥🔥🔥
Hongera sana Simba Queens.
Eric Ten Hag ameamua kwenda na kikosi kile kile kilichopata matokeo kwenye mchezo uliopota dhidi ya Liverpool FC. Ronaldo amemweka benchi tena.
Kitokana na ripoti kutoka vyanzo mbalimbali, klabu ya Leicester City imekubali kumuuza beki wao; Wesley Fofana kwenda Chelsea FC.
Ofa ya Euro milioni 90 iliyotolewa na klabu ya Manchester United kwenda Ajax kwa ajili ya kumsajili winga mbrazili, Antony imekataliwa na klabu hiyo.
Picha mpya kutoka kwa King Kiba . Neno moja kwake?
ZA NDAANI KABISA.
Beki kisiki wa Simba SC, Joash Onyango amewasilisha barua ya kuomba kuondoka klabuni hapo.
Onyango hana furaha baada ya kocha wa sasa kumnyima nafasi ya kucheza na kupoteza kabisa nafasi yake kwenye kikosi cha kwanza mbele ya beki mpya aliyesajiliwa msimu huu: Mohammed Ouattara.
Onyango hajasafiri na timu hiyo nchini Sudan na amebaki Dar es Salaam akisubiri hatima yake kutoka kwenye uongozi wa klabu hiyo.
Kwa ulivyomuona mpaka sasa, Mohammed Ouattara anastahili kumweka nje Joash Onyango?
Na unauchukuliaje uamuzi huu wa Onyango wa kutaka kuondoka baada ya kupoteza nafasi kikosini, kwa nini asingeendelea kupambana ili amshawishi mwalimu?
Karim Benzema ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa bara la Ulaya msimu wa 2021-2022.
Carlo Ancelotti ameshinda tuzo ya kocha bora wa bara la Ulaya msimu wa 2021-2022.
Pale unapoangalia makundi ya UEFA na kuona kuwa umepangwa kundi moja na Bayern Munchen na Inter Milan.
Haya ndiyo makundi ya UEFA champions league msimu huu.
Timu yako pendwa barani Ulaya ipo kundi gani?
Kundi lipi unaliona ni la kifo?
Kwenye maisha ya utafutaji usije ukakata tamaa hata siku moja.
Umewatambua hawa ni akina nani?
Kiukweli, suala la kurokuhesabiwa mpaka sasa hivi limeniuma sana 🤨🤔
Unamsubiri karani wa sensa aje akuhesabu ukiwa maeneo gani?
Uhuru umezidi sana kwenye hii nchi.
Wakati tukisubiri kuhesabiwa leo, tuanze challenge yetu ya "Mlete Mzungu"
Comment picha yoyote uliyonayo kwenye simu yako yenye bango la "Mlete Mzungu" .
K**a hauna picha basi comment hata maneno uliyowahi kuyaona sehemu yoyote ile yanayohusiana na "Mlete Mzungu"
Haya tuanze challenge yetu, mimi naanza na hizi picha hapa chini👇👇👇
Neno moja kwa hawa vitasa.
Huu ukabaji tuuupe jina gani wadau wa soka?
Mashabiki wa Manchester United muda wa kuamka leo ni saa ngapi?
Full Time
Man United 2-1 Liverpool
Sancho⚽ Salah⚽ Rashford⚽
manchester United wemeupiga mwingi sana leo. Wamejituma mno. Anyway, nani mchezaji wako bora kwa mchezo wa leo?
BREAKING NEWS:
Winga hatari kutoka Azam FC; Tepsie Evans ameongezwa kwenye kikosi Cha Taifa Stars kuchukua nafasi ya Abdul Suleiman Sopu ambae ni Majeruhi.
Manchester United
Vs
Liverpool FC
Utasapoti chama gani leo?
Sadio Mane anamtaka Pape Ousmane Sakho kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Senegal.
Mara paap, Sakho anaenda kucheza kombe la dunia.
Tutawaambia nini watu sisi😃😃🤤🤭🔥⚽
Unaweza kuamini kuwa katika mazingira haya Leo Messi aliweza kutoa pasi iliyozaa goli kwa Kylian Mbappe.
Huyu Leo Messi, ni genious wa soka.
ZA NDAANI KABISA.
Victor Akpan emeuambia uongozi wa Simba SC kuwa hataenda kwa mkopo sehemu yoyote ile mpaka pale klabu hiyo itakapomkabidhi gari na hela yote ya usajili aliyoahidiwa kupewa kipindi anasaini mkataba na klabu hiyo.
Mchezaji gani anastahili tuzo ya mchezaji bora wa mwezi August ligi kuu Tanzania bara?
⚽ magoli 5️⃣
🅰️Assists 4️⃣
Fomu ya Neymar Jr msimu huu 🔥🔥 ♨️
64'—Ansu Fati anaingia kutokea benchi
66'—Ansu Fati anatoa assist kwa Dembélé
68'—Ansu Fati anatoa assist kwa Lewandowski
79'—Ansu Fati anafunga
Huyu mtoto ni spesho🌟
Mbappé: Magoli matatu.
Neymar: magoli mawili na assist tatu
Messi: goli moja, assist moja
Utatu mtakatifu wa PSG vs. Lille 😤
Kylian Mbappe amefunga goli sekunde ya 8 na kuweka historia ya goli la mapema zaidi kuwahi kufungwa kwenye ligi hiyo.
Karim mandonga mtu kazi kamtandika na kumgaragaza mtu kwenye raundi ya kwanza tu 💪🏿💪🏿💪🏿
Click here to claim your Sponsored Listing.
Videos (show all)
Category
Telephone
Website
Address
Mbezi
Dar Es Salaam
Livigharaymond@gmail. Com
Dar Es Salaam
Habari za leo website; it deals with daily news through mass media and news from other sources.
Www, Com Haule
Dar Es Salaam, 096544
nime zaliwa kupambana kuixhi kuiona kexho unaniombea uhai niixhi kwa matexo
Keko
Dar Es Salaam
Try to see more new knows which will change your mind to change your life ,believe
Paje
Dar Es Salaam
We are always bring you the most unique paradise world friends as a one Family
Dar Es Salaam, S.L.P3130
I am sharing the news of salvation and the life of Jesus Christ his death and resurrection.