Community Development Trust Fund

CDTF has the purpose of complementing efforts of the nation on improving people's social and economi

01/05/2024

Kaulimbiu: Nyongeza ya mishahara ni msingi wa mafao bora na kinga dhidi ya hali ngumu ya maisha

15/11/2023
Photos from Community Development Trust Fund's post 27/10/2023

The Board Chair of
Community Development Trust Fund Trust Fund
keenly listening speekers during with theme in Arusha.

26/10/2023

CDTF is actively participating in CSO Week 2023, from October 23, 2023, at the Arusha International Conference Centre (AICC). The theme for CSO Week 2023 is Tech x Society: Then, Now, and Beyond.

26/10/2023

KAZI YA BABA WA FAMILIA SIYO KUJISIFIA MWENYEWE KUWA AMETENDA MEMA KWA FAMILIA BALI, WANAFAMILIA NDIYO WENYE WAJIBU WA KUMSIFIA BABA KWA YOTE MEMA ANAYOYAFANYA KUKIDHI MAHITAJI YAO. VIVYO HIVYO KWA VIONGOZI KATIKA TAASISI HAWAPASWI KUJISIFIA WENYEWE BALI WANANCHI NDIYO WENYE WAJIBU WA KUNENA SIFA ZA VIONGOZI KUTOKANA NA UTENDAJI WAO

25/10/2023

Stanford Kalala from CDTF is experiencing storytelling with virtual reality by


at 🙌

13/10/2022

Taasisi ya Maendeleo ya Jamii(CDTF) inaungana na dunia kuazimisha siku ya mtoto wa k**e duniani, kwa kumpigania mtoto wa k**e kuweza kupata haki yake ya msingi ili kutimiza ndozo zake.

Improved relationship between service providers and service recipients, the case of Masanganya village – best practice – CDTF – Tanzania 08/04/2022

http://www.cdtf.or.tz/improved-relationship-between-service-providers-and-service-recipients-the-case-of-masanganya-village-best-practice/

Improved relationship between service providers and service recipients, the case of Masanganya village – best practice – CDTF – Tanzania Masanganya is one of the Health Facility (a Dispensary) within the CLM project area, it is located 45 kms west of Kisarawe district head quarter. The dispensary offers among other services the CTC, it serves the population of about 5,401 people and 363 persons living with HIV/AIDS. The approach used...

08/03/2022

Ujumbe umefika kila mwananchi atafakari jana , leo na kesho yake. Kwa pamoja tutajenga nchi

01/03/2022

Ilikuwa siku maalumu ya uzinduzi wa bwalo la chakula shule ya Msingi Mlimwa B Jiji la Dodoma. Je ni shule ngapi za msingi ambazo zina miundombinu bora ya kutoa huduma ya chakula kwa wanafunzi? Wadau wa elimu na serikali tunapaswa kuliangalia hili kwa jicho la pekee ili isaidie wananfunzi kupata huduma ya chakula shuleni kwenye mazingira bora

28/02/2022

Success story of Free access to male condoms at kola sub-village in Kisanga village

http://www.cdtf.or.tz/success-story-of-free-access-to-male-condoms-at-kola-sub-village-in-kisanga-village/

Photos from Community Development Trust Fund's post 08/02/2022

CDTF imechangia baadhi ya vifaa kwa watoto wanaojiandaa kwenda shuleni.

CDTF inaomba jamii kujitokeza kuwasaidia watoto wote wakiwemo wenye ulemavu wapate elimu bora kwa kuwasaidia mahitaji mbalimbali.

08/02/2022

Mkurugenzi wa CDTF, Bw. H. Mgingi akijadiala na wanafunzi kufahamu k**a wanapata huduma zinazochangiwa na wadau wa Maendeleo ikiwemo CDTF katika shule ya msingi Pongwe - Tanga

06/01/2022

Ili kuhakikisha azma ya Kujitegemea inafikiwa miongoni mwa jamii,serikali vema kuimarisha mifumo ya ushirikishwaji wa jamii kwenye Mamlaka ya serikali za mitaa ikiwemo msisitizo wa upangaji mipango shirikishi ili kutoa fursa ya ushiriki wa wananchi.Uzoefu unaonesha pale wananchi wanaposhiriki kikamilifu, mipango iliyoandaliwa hulenga katika utatuzi wa kero zao halisi hivyo huwa tayari kujitoa kwa hali na mali katika utekelezaji wa mipango hiyo. Matokeo yake wananchi wanajali na kulinda mafanikio yanayopatikana. Hali hiyo inahakikisha uendelevu.

06/01/2022

Uongozi wa pamoja ni msingi wa kuleta mshik**ano katika Jamii

Photos from Community Development Trust Fund's post 14/12/2021

16 days of Activism Against Gender Based Violence

CDTF unites with other activists to advocate the right of women and girls against Gender Based Violence

01/12/2021

World Aids Day..

Mkurugenzi Mtendaji wa CDTF, Bw. H. Mgingi anaelezea kupitia Capital Redio jinsi CDTF inavyoshiriki kwenye mapambano dhidi ya UKIMWI Kupitia mradi wa CLM unaochangia uboreshaji wa utoaji huduma katika vituo vya afya Wilaya ya Kisarawe.

Karibu ushiriki kipindi Cha mada mezani, Redio Capital

01/12/2021

IT IS HAPPENING NOW...

Katika kuazimisha siku ya UKIMWI duniani, Mkurugenzi mtendaji wa CDTF anaelezea jinsi Mradi wa CLM unavyochangia Kuboresha huduma bora Kwa Wapokea Huduma.

SIKILIZA CAPITAL RADIO, kipindi MADA MEZANI Hivi sasa

30/11/2021

Tarehe 1 Desemba ni siku ya kuadhimisha shughuli za UKIMWI Duniani je hapo ulipo huduma za utoaji na upokeaji huduma kwa WAVIU zinatolewa kwa ufanisi?

Photos from Community Development Trust Fund's post 01/11/2021
29/10/2021

Kazi ya baba au mkuu wa kaya siyo kujisifia mwenyewe bali husifiwa na wanafamilia na majirani kwa kazi au huduma anayoitoa kwa wanafamilia. Sawa na kiongozi katika jumuiya au Taasisi hajisifii mwenyewe husifiwa na anaowaongoza na waliomzunguka kwa kutimiza malengo na ahadi alizotoa bila kubagua au kunyanyasa wachache .

23/09/2021

Uongozi ni kuwa na dira na kuizingatia siyo kujipendekeza

18/08/2021

Elimu ya kinga ni msingi mkuu wa kupambana na magonjwa mbalimbali yanayotukabili.

Photos from Community Development Trust Fund's post 24/05/2021

CDTF staff, Mr. Mpendo and Stanford participated in Community Led-Monitoring Tools development organized by NACOPHA in Dar Es Salaam on 19th and 20th May 2021

Want your organization to be the top-listed Non Profit Organization in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Videos (show all)

Utolewaji wa chakula shuleni unasaidia ufauru

Telephone

Address


Posta, NIC Investment House, 2nd Floor
Dar Es Salaam
CODE11101P.O.BOX9421

Other Non-Governmental Organizations (NGOs) in Dar es Salaam (show all)
TAMASHA VIJANA TAMASHA VIJANA
Sinza Lufungira, Mbogo Street, House No. 12
Dar Es Salaam

TAMASHA-vijana translates to “Celebrate Youth!” something that we are passionate about

Art in Tanzania Art in Tanzania
Umoja Road Block 2Q, Madale Village
Dar Es Salaam, 23333

Art in Tanzania - a self-sustainable NGO helping communities in Tanzania.

Lalji Foundation Lalji Foundation
Morani House
Dar Es Salaam

The Lalji Foundations pledges to give back to the community and improve lives.

Education For Disabled Tanzania Education For Disabled Tanzania
NSSF Road St, Bagamoyo Road
Dar Es Salaam, 14121

We are a non-profit organization, our main goal is to change lives of youths, children and those in

Stop TB Tanzania Stop TB Tanzania
Mikocheni
Dar Es Salaam

Tanzania joining other countries to start STOP TB chapter in Tanzania aiming to comply with Moscow de

Vijana Na Ujana Vijana Na Ujana
Dar Es Salaam

Universal Human Development - Uhuden Universal Human Development - Uhuden
Zanaki Street
Dar Es Salaam, 11105

Universal Human Development (UHUDEN), is a Non-Government organization established under section 12

yowedfoundation2019 yowedfoundation2019
Mbezi Luis Mwisho, Makao Makuu
Dar Es Salaam

Nantambelele niokoe foundation Nantambelele niokoe foundation
CHANIKA
Dar Es Salaam

� DENY CHILD ABUSE � RIGHTS AND EQUALITY TO ALL CHILDREN � DISABILITY IS NOT A CHALLENGE FOR A CHILD

Romme love justice Romme love justice
Sam Nujoma/Lufungira Road
Dar Es Salaam

ROMME Love Justice Tanzania, an anti Human Trafficking organisation is a member of TANAHUT.

Youth On Top Youth On Top
6 Guinea Road, Osterbay
Dar Es Salaam

We prepare, inspire and empower the youth in achieving their full potential thereby living a successful and productive life there upon become agents of change

Zeal for Care Organization Zeal for Care Organization
Majumba Sita
Dar Es Salaam

helping people with great needy